yMtunzi WA story baada Ya kuandika nakumpa mwandishi WA Script na kuandika Script,producer apewe hiyo ikiwa tayari. Baada Ya hapo yakupasa kumtafuta MONGOZAJI Mzuri kwa ajiri Ya production. Director baada YA Kuelewa script utaisoma Mara Ya Kwanza Mara YA pili na Mara ya Tatu.Mara YA nne utalazimika kusoma katikati YA Mstari YA Script hiyo Ili Kujua muda, matukio, matamshi YA mambo.
AINA YA WA ONGOZAJI
Kuna Aina Mbili Za waongozaji
(a) Democratic Director
-director Huyu anakubari kushauriwa katika uongozaji wake
(b) Dictetar director
-director Huyu hataki ushauri katika uongozaji wake
Mwongozaj baada ya kusoma script na kuchambua na kujua vizur lengo la mwandishi kwenye film hiyo analazimika kutumia usemi huu. CHELEWA KUINGIA, WAHI KUFIKA ENTER LATE, LATE EARLY, = usemi huu maana yake kuu inamtaka mwongozaji ( Director) kuziona scene ambazo mwandishi wa script ameziweka humo lakini hazina umuhimu hata kama hazikuwepo aziathir na kupoteza maana ya filam hiyo vilevile mwongozaj huyo anatakiwa kuzichambua tena scene zilizo bakia inawezekana baadhi ya scene zilizo baki anaweza kuziondoa na maana ya filam ikabaki Kama ilivyo kusudiwa.
MWIGIZAJI NA MWONGOZAJI
ACTER & DIRECTOR
Mwongozaji ( Director) anatakiwa kumwongoza mwigizaji, kitakachofanywa na mwigizaj lazima kiwe na maana katika scene husika
Hapa ndipo mwongozaji ( Director )
anatakiwa kujua kuna waigizaji wa aina mbili ili aweze kuandaa ubunifu katika kuwaongoza waigizaji pale itakapobidi.